Monday, November 29, 2010

HICHO NDICHO KILICHO PIGIWA KELELE NA WAJUMBE WA BOARD YA BARABARA MKOANI RUVUMA KWA MKUU WA MKOA DKT CHRISTINE ISHENGOMA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mhe.Dkt  Ishengoma allisema fedha za serikali za ujenzi wa barabara zitumike kwa kujenga barabara zenye viwango vilivyo bora katika kikao cha bodi ya barabara kilicho fanyika katika ukumbi wa Songea Club,Alikuwa sahihi.Je hiyo barabara ya kiwango cha lami katikati mji wa Manispaa ya Songea itokayo CCM Wilaya kuelekea kanisa la Anglikana ilijengwa kwa viwango vya ubora unaotakiwa ? .( picha na Christian Sikapundwa )

No comments:

Post a Comment