TUJIFUNZE KUSINI

KARIBU TANZANIA KUJIONEA MAAJABU YA DUNIA KATIKA MBUGA ZETU, VIVUTIO MBALILMBALI KATIKA MAKUMBUSHO YETU.KARIBU KUSINI MWA TANZANIA

Thursday, November 18, 2010

Mheshiwa Mizengo Pinda apishwa kuwa Waziri mkuu wa Bunge la 10 Chamwino Ikulu Dodoma

Mheshimiwa Mizengo kayanza Pinda ( Mbunge ) wa Katavi apishwa kuwa waziri Mkuu wa Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Chamwino Ikuli  nje kidogo ya Manispaa ya  Dodoma ,wakati wabunge wa  Chama cha  CHADEMA  hawakuonekana katika  sherehe  hizo,Swali  hawakualikwa,ama  wametekeleza kauli ya  aliyekuwa akitaka kiti cha Urais kushindwa Dkt Slaa Kutomtambua Kikwete kama ndivyo tuwaelewe vipi?.wewe na mimi tutafakkari,Je shughuli za kuapishwa waziri Mkuu hazikufanikiwa,na Rais Jakaya  Kikwete hawezi kuhutubia Bunge la kumi la mwaka 2010 kwa  kuwa wabunge wa CHADEMA wamesusia,Ni aibu kwa wapenda amani,pia ni mashaka kwa wale waliojenga imani kuwa  ni  chama kitakacho tawala nchi hapo baadaye.Lakini kama ilikuwa babahati yako ya kuwa  Rais  subira ni muhimu.Mheshimiwa Mizengo Pinda akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete Chamwino Ikulu Dodoma Leo



 
Posted by Christian Sikapundwa at 2:29 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

TANZANIA

TANZANIA
JIVUNIE NCHI YAKO TANZANIA

Pages

  • Home
  • CHANGAMOTO MAJIMBONI NCHIMBI AZINDUA KAMPENI SONGE...

Followers

Blog Archive

  • ►  2015 (51)
    • ►  October (12)
    • ►  September (2)
    • ►  August (7)
    • ►  July (2)
    • ►  June (10)
    • ►  May (12)
    • ►  March (1)
    • ►  February (4)
    • ►  January (1)
  • ►  2014 (30)
    • ►  December (5)
    • ►  November (4)
    • ►  October (6)
    • ►  September (8)
    • ►  July (3)
    • ►  May (2)
    • ►  January (2)
  • ►  2013 (122)
    • ►  December (4)
    • ►  September (1)
    • ►  August (4)
    • ►  July (8)
    • ►  June (3)
    • ►  May (10)
    • ►  April (20)
    • ►  March (20)
    • ►  February (35)
    • ►  January (17)
  • ►  2012 (212)
    • ►  December (19)
    • ►  November (15)
    • ►  October (7)
    • ►  September (7)
    • ►  August (9)
    • ►  July (12)
    • ►  June (19)
    • ►  May (42)
    • ►  April (21)
    • ►  March (9)
    • ►  February (35)
    • ►  January (17)
  • ►  2011 (530)
    • ►  December (10)
    • ►  November (12)
    • ►  October (22)
    • ►  September (26)
    • ►  August (62)
    • ►  July (22)
    • ►  June (70)
    • ►  May (116)
    • ►  April (36)
    • ►  March (54)
    • ►  February (60)
    • ►  January (40)
  • ▼  2010 (61)
    • ►  December (15)
    • ▼  November (24)
      • IKIWA LEO NI MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI LAKINI ...
      • wakati leo ni maadhimisho ya UKIMWI Duniani Ruvum...
      • Mkuu wa Wilaya ya Songea Bwana Thomas Ole Sabaya a...
      • PONGEZI
      • HICHO NDICHO KILICHO PIGIWA KELELE NA WAJUMBE WA B...
      • FEDHA ZA UJENZI WA BARABARA ZITUMIKE KWA UJENZI UL...
      • Siku 16 za kupinga ukatili za kijinsia Tanzania,wa...
      • WABUNGE WA CHADEMA WALISUSIA HOTUBA YA RAIS KIKWET...
      • IJUMAA NA JUMAMOSI LEO MSIMU WA MVUA UMEANZA KWA ...
      • WHEN WOMEN WILL BE FREE FROM SEXUAL VIOLENCE IN SO...
      • INDIGO AVIATION FLY TO SONGEA ANY TIME FROM NOW
      • MHE.DKT.CHRISTINE ISHENGOMA AKERWA NA WAHARIBIFU W...
      • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JAKAYA...
      • JIAJIRI KUPITIA UFUNDI PIKIPIKI MWONE JOHN JOHN K...
      • Wabunge wametakiwa kutoa ushirikiano wa kutosha kw...
      • Mheshiwa Mizengo Pinda apishwa kuwa Waziri mkuu wa...
      • Dkt Slaa kutomtambua Rais Kikwete kunazua maswali ...
      • WAZIRI MKUU MIZENGO KAYANZA PETER PINDA ATHIBITIS...
      • MKOA WA RUVUMA WAPOTEZA MRATIBU WA KIFUA KIKUU NA ...
      • SPIKA WA KWANZA MWANAMKE WA BUNGE LA JAMHURI YA M...
      • DOKTA JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEAPISHWA LEO KUWA RA...
      • DOKTA JAKAYA KIKWETE ATANGAZWA KUWA RAIS WA JAMHUR...
      • WABUNGE WA MKOA WA RUVUMA WA CCM WAMO NDANI YA BUN...
      • LEONI LEO KIKWETE,LIPUMBA AU SLAA !! KUKAMILISHA N...
    • ►  October (22)

About Me

My photo
Christian Sikapundwa
I'm a teacher by profession,and Journalist as well as The Retired officer of Editor Rural News Paper of Southern Zone and Ed- SDP News Letter.and Blogger.I am doing my own Business.
View my complete profile

mazao ya chakula

mazao ya chakula
magari yanayosafirisha mazao nje ya mkoa wa Ruvuma

Michuzi

  • Hapa Kwetu
    Tangazo la Maongezi Yangu Books on Central, Faribault - Kwa miaka mingi, nimeongea na hadhira mbali mbali hasa kuhusu tofauti za tamaduni. Matangazo huandaliwa na kusambazwaa kabla ya mikutano. Kati ya matang...
    1 year ago

Popular Posts

  • KUTANA NA VITUKO VYA KUTISHA NDANI YA ( NILITAFUNA WANANGU 10 )
    Kitabu cha Irene Mwamfupe Ndauka ni kitabu kilichoandikwa kwa lengo la   kuelimisha jamii kuhusu uchawi na wachawi walivyo zagaa katika ...
  • DADA DESTERIA NDUNGURU NI MJASILIAMALI PIA ANAFUNDISHA KUDARIZI
      Aliyesimama ni Dada Desteria Ndunguru ambaye ni mkurugenzi katika kiwanda chake cha kudarizi mashuka,foronya na vitambaa vya mezani,mas...
  • KILWA NA BIASHARA YA WATUMWA NA HISTORIA YA KISWAHILI NA MAJENGO YA MATUMBAWE
     Sehemu ya jengo ambalo lilikuwa na ukumbi mkubwa wa kunadi bidhaa zikiwemo watumwa,pembe za ndovu,simbi,mbao na vyombo vya kufinyan...
  • BARAZA LA IDD LIMESOMWA KATIKA UKUMBI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA SONGEA LEO
    Mji wa Songea na vitongoji vyake ni shamra shamra kwenda mbele,inapendeza,unapofika kwenye makutano ya barabara ya kanisa kuu na ya kutokea...
  • MCHELE MMOJA MAPISHI MBALIMBALI NIMEFIKA KWENYE DUKA LA VIUNGO VYA PILAU
    Nimefika katika duka la viungo vya pilau na vya mboga katika soko la Matarawe  nikaambiwa viungo vya pilau vipo vilivyo sangwa na visivyo...
  • IPI MAANA HALISI YA LUGHA?
    Baadhi ya wana- Isimu wanadai kuwa Lugha ni:- Hill ( 1958 ) huyo alidai kuwa   lugha ni umbo asili lililoshonana sana ambalo al...
  • SAFIRI KWA RAHA NA SUMRY HIGH CLASS LUXURY BUS SONGEA - DAR ES SALAAM
     Ukisafiri na Sumry High class luxury kutoka Songea kwenda Dar es salaam,utasafiri kwa raha bila kuchoka. Mwanzo sikuwa siamini kuwa S...
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2011 NA UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KUINGIA KIDATO CHA KWANZA MKOANI RUVUMA YATANGAZWA
     Kaimu RAS wa Mkoa wa Ruvuma Dkt Anselim Tarimo waktangaza matokeo ya wanafunzi watakaoingia kidato cha kwanza mwaka 2012. ong  Afisae...
  • CHEMBELE APPLIED ZONE AND BUFALO WAUZAJI WA PIKIPIKI MWADA JET FIGHTER AND SANLG MJINI SONGEA WAMEANZA TENA
     Chembele Applied Zone Ltd wapo opposite na benki ya NMB soko kuu Manispaa ya Songea,wauzaji wa pikipiki aina ya SANLG na Mwada Jet Fight...
  • NI JAMBO LA KUFURAHISHA LA KUKUTANA NA BLOGGER MKUBWA NA KUCHATI NAE INAPENDEZA KWELI SI MWINGINE PROFESA MBELE - SONGEA LEO
     Baada ya mapumziko ya safari ya basi kutoka Dar es Salaam kuja hapa Songea Profesa Mbela mwenye shati la mistari pamoja na ndugu zake pi...
cars pictures. Picture Window theme. Powered by Blogger.