Thursday, October 27, 2011

BREAKING NEWS ! ! ! GARI LILILOKUWA LIKIPELEKA MITIHANI DAR ES SALAAM KUTOKA RUVUMA SONGEA LA PATA AJALI

Habari zilizopatikana kutokana baadhi ya watu waliyokuwepo kwenye Lori hilo inasema kuwa askari wawili majana yao hayakupatikana mara moja wameumia,na baadhi yao ni wazima.Habari zaidi utazipata kwenye vyombo vya habari.

No comments:

Post a Comment