Monday, October 17, 2011

MAAFISA ELIMU VIELELEZO NA KILIMO WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA WATEMBELEA OFISI YA TUJIFUNZE KUJIFUNZA

 Mhariri wa TUJIFUNZE Bwana Christian Sikapundwa  mwenye suti ya zambarao akiwaonyesha wageni maafisa Elimu Kilimo Bwana Honoratus Mpangala mwenye kaunda suti mikono mifupi na Afisa Vielelezo Bi- Rose Mwombeki,Mahazeti ya kisomo ya Kanda zote saba ambavyo vilikuwa vikichapa.
 Bi - Rose Mwombeki Afisaelimu Vielelezo Manispaa ya Songea
 Bwana Honoratus Mpangala Afisaelimu Kilimo wa Manispaa ya Songea walitembelea TUJIFUNZE leo
 Fundi mchapaji wa mashine Kubwa SORK Bwana Winifredy kaimbe akiwaonyesha wageni hao jinsi mashine hiyo inavyofanya kazi.
 Bi.Rose Mwombeki Afisaelimu Vielelezo akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya TUJIFUNZE leo kabla ya kutembezwa kiwandani.
 Mhariri msaidizi wa TUJIFUNZE Bwana Juma Nyumayo wa kwanza  mwenye shati nyeupe akielezea maandalizi ya kuandaa Gazeti la TUJIFUNZE kwa ajili ya miaka 50 ya UHURU
 Wageni bado wanapata maelezo jinso Elimu ya Watu Wazima ilivyo kuwa ikichapisha Magazeti hayo ya Vijijini, mezani ni nakala za magazeti hayo ya Kanda za Elimu .
 Bwana Sikapundwa akiwaonyesha picha za Maafisa vielelezo wa Kanda ya Kusini
Wageni waipata maelezo ya mitambo ya  uchapaji iliyopelekwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa ajili ya kuchapisha Magazeti ya Wizara na kusambazwa kwa wananchi mjini na vijijini.

No comments:

Post a Comment