Monday, October 17, 2011

ELIMU YA WATU WAZIMA NI ELIMU YA KILA MMOJA WETU BWANA MPANGALA NA BI MWOMBEKI WAMESHUHUDIA HILO WALIPO JIFUNZA VITU WASIVYO VIJUA

 Afisa elimu vielelezo Bi. Rose Mwombeki wa Manispaa ya SONGEA akiwa ofisi za TUJIFUNZE ni ofisi yake pia kwa sababu afisa huyu yupo katika Kurugenzi ya Elimu ya Watu Wazima.
 Bwana Mpangala Afisaelimu kilimo wa Manispaa ya SONGEA alitembelea ofisi ya TUJIFUNZE kujifunza mambo mapya.
 Bw.Mpangala
 Bi. Mwombeki
 Maafisa hao wapo Paste Up Room wakipata maelezo ya Light table inayo tumika kuandaa kazi
 Wanapata maelezo namna mashine hizo za uchapaji zinzvyo fanya kazi.

No comments:

Post a Comment