Monday, April 15, 2013

WANAHABARI KUAANZISHA TUZO YA KUTUKUKA YA DAUDI MWANGOSI

Mkurugenzi Mtendaji wa UTPC Bwana Abubakar Karsan ,amesema wanahabari wanaanzisha TUZO iliyotukuka ya Daudi Mwangosi.
Bw.Karsan alisema Tuzo hiyo itatolewa kwa Waandishi wa habari,wa magazeti,majarida,wa radio TV na Blogs.
Aidha alisema UTPC ittampa shilingi milioni tano mke wa marehemu Mwangosi ili afanyie shughuli zake za ujasiliamali.

No comments:

Post a Comment