Thursday, April 25, 2013

SHULE YA KWANZA KATIKA KUFAULISHA KATIKA MANISPAA YA SONGEA IMEPATA KIKOMBE NA YA MWISHO IMEPATA NGAO

 Naibu Meya Wilon Kapinga akimkabidhi mwakilishi wa shule ya msingi Mfaranyaki zawadi ya Kikombea
Mwakilishi wa shule ya msingi lupapila wamepata ngao kwa kuwa wa mwisho kufaulisha katika shule za msingi za Manispaa hiyo.

No comments:

Post a Comment