Friday, April 19, 2013

BUNGE LA TANZANIA LIMEANZA ZAMANI,ILA KIANCHOTOKEA SASA NI CHA AIBU

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilianza siku nyingi,lakini halikuwa na vituko vinavyo tokea sasa ndani ya Bunge.
Kauli hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi wakati akizungumza na wandishi wa habari Jijini Dar es Salaam Jana.Na kwamba kumekuwa hakuna nidhamu ndani ya Bunge hilo.
Aidha kuhusu sakata la kuchinja Rais Mstaafu Mzee Mwinyi alisema watanzania waache malumbano kuhusu nani kachinja,kwani toka awali kahukuwa na sakata hili.Alisema kama kuna dharura waislamu wacha wachije kwa shughuli zao,na alisema kila mtua anaweza kuchinja kwa matumizi yake.

No comments:

Post a Comment