Monday, April 8, 2013

PINGU ZA MAISHA SHEREHE YA MAHARUSI KATIKA UKUMBI WA CHUO KIKUU HURIA SONGEA KATI YA BWANA FRANCIS BAHATI CHALE WA MATEKA SONGEA RUVUMA NA BIBI ROZI MAKULE WA BOMANG'OMBE HAI KILIMANJARO

 Bw. Francis Bahati Chaele na Bibi Rose wakiingia katika Ukumbi wa Chuo kikuu huria cha Songea Ruvuma siku ya Jumamosi iliyo pita.
 Bwana Harusi Francis B.Chale
 Bibi harusi Rose Makule
 Baba Msimamizi wa harusi Bw.Bosco Haule
 Mama msimamizi wa harusi hiyo Mrs Bosco Haule
 Baba wa Bibi harusi Mzee Makule harusi akisalimia wa wahisani waliyofanikisha harusi hiyo
 Bibi harusi Rose Makule akisalimia wahisani
 Dada wa Bibi harusi
 Mama na ndugu wa Bibi harusi
 Kaka wa Bibi harusi
Wasimamizi wa maharusi Bw. Bosco Haule na Bibi haule wakisalimia wahisani. Inafuatia kuwasha mshumaa na kukata keki

No comments:

Post a Comment