Wednesday, April 24, 2013

BREAKING NEWSSSSSSSSSS,CHUO KIKUU KIMOJA NCHINI UINGEREZA KIBUNI MBINU YA KUPUNGUZA WIZI WA BAISKELI KWA ASILIMI 62,IKIWA MBINU YA PICHA YA MACHO WAILI

 Picha hiyo iliyo na ujumbe usemao ( We are watching You ) imebuniwa na chuo kikuu kimoja Nchini Uingereza,kwa lengo la kupunguza wizi wa Baiskeli nchini humo.Kwa taarifa ya usalama nchini humo inasema wizi wa baiskeli umeshamili kwa asilimia 63%.
Lakini kutokana na picha hiyo kuwepo,imesaidia kupunguza  wizi huo kwa asilimia 62%, Lakini ukiangalia kwa makoni macho hayo yalivyo pamoja na ujumbe wake kweili unaweza kumsuta mwizi , kujikuta anaonekana na watu hivyo anaacha kuiba Baiskeli.
Ukiitazama picha hiyo utakuta macho hayo yameelekeza kwenye baiskeli zilizowekwa,na yamekazia hasa kwenye baiskeli hizo.

No comments:

Post a Comment