Thursday, April 25, 2013

WAENDESHA YEBOYEBO KATIKA MANISPAA YA SONGEA WANAPATA MAFUNZO YA SIKU 7 YA USALAMA BARABARANI

 Mkufunzi wa mafunzo ya waendesha yeboyebo wa Manispaa ya Songea Bw.Faustin Gabriel Matina kutoka kitengo cha Usalama barabarani Jijini Dar es Salaam alisema tunatoa mafunzo hayo kwa madereva ili wazifahamu alama zilizoko barabarani.Waendesha yeboyebo 400  watanufaika na mafunzo hayo ,ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bw.Said Thabiti Mwambungu alifungua mafunzo hayo.
 Mkufunzi akisisitiza alama hizo
 Mkufunzi Matina akisikiliza maswali kutoka kwa wanafunzi wake.
 Naibu Mwenyekiti wa waendesha yeboyebo Bw,Abed Nchimbi
 Waendesha yeboyebo
 Baadhi ya yeboyebo zao

No comments:

Post a Comment