Saturday, April 27, 2013

KAMATI YA HARUSI ILIYOFANIKISHA HARUSI YA BWANA MPELASOKA SONGEA IMEVUNJA KAMATI KWA KULA NA KUNYWA FUATILIA PICHA HIZO.

 Bwana Mpelasoka Bwana harusi amitisha kamati yake kuvunja kamati kati Bwalo la Polisi katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea.Ambapo kila kamati ilijaribu kuelezea mafanikio ya siku hiyo na changamoto alizokutana nazo siku hiyo.
 Bwana Mpelasoka akishukuru wanakamati aliyesimsms
 Wa kwanza ni Mzazi upande wa Bwana Harusi
 Ambaye sasa alisimama na kuishukuru kamati hiyo
 Huyo ni Mama wa Bibi harusi amesafiri kutoka Bukoba hadi Songea kuja kuona Binti yake anakoishi ameishukuru sana kamati hiyo.
 Huyo ndiye mwekiti wa kamati hiyo aliyefanikisha kwa kiasi kikubwa.
 Upqnde wa Bw.Harusi akiishukuru kamati
 Dada huyo na Katibu wa kamati hiyo
 Dkt Mstaafu upande wa Bw.Harusi akiishukuru kamati
 Baba wa karibu wa Bwana harusi katika Manispaa hii ya Songea Haule Ok ,naye aliwashukuru wanakamati
Mzee Mwakanosya upande wa wazazi Bwana harusi.akishukuru

No comments:

Post a Comment