Monday, April 8, 2013

Bwana Franci na Mkewe Bibi Rose Makule wakipeleka keki Ukweni kila mmoja wao

Bibi Rose akiwasha mshumaa maalumu katikati ya keki hiyo 
 Bwana Francis B.Chale na Mkewe wakipeleka keki  kwa wazazi wake
 Bibi Rose Makule akimkabidhi Baba Mkwe wake Mzee Bahati Chale kwa Heshima zote za Kichaga alizo nazo Bibi Harusi huyu
 Bibi Rose akimpa mkonoo wa heri Mama mkwe mdogo
 Mzee bahati Chale akiwonyesha wahisani wake waliyofanikisha sherehe hizo keki aliyo kabidhiwa na mama mkwe wake
 Bibi Rose Makule akimkabidhi Mume wake Keki ili awakabidhi wakweze


Bw. Harusi Francis Bahati Chale akimkabidhi mama mkwe wake keki

 Wasimamizi nao wakionyesha jinsi walivyolishana kike siku ya harusi yao hapo zamani
Baba Mzazi wa Bwana harusi,Ambaye mwanzilishi wa Ukumbi huo wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania tawi la Songea ,lilipo kwisha chini ya usimamizi wake madhubuti kama Mkuu wa chuo hicho Bwana Bahati Chale,alihamishwa na kuletwa mkuu wa chuo hicho mwingine,hiyo ndiyo zawadi ya mtenda kazi bora nchi hii badala ya kuendeleza na kuboresha Chuo hicho alicho anza nacho katika Jengo la kupanga analetwa mtu mwingine. lakini Mungu si Athimani sasa yuko Chuo Kikuu cha Songea Tawi la SAUTI Mkufunzi Hapo.

No comments:

Post a Comment