Monday, April 8, 2013

SHEREHE NI PAMOJA KUVYWA NA KULA SASA MAARUSI NA WAHISANI WAO WANAELEKEA MEZA YA CHAKULA FUATILIA PICHA HIZO

 Maharusi wakipata chakula,chipsi kuku,mshikaki,sambusa,kachumbari na mazagazaga mengine ;hivyo hivyo picha zinazofuata.






 Jirani wa Baba mzazi wa Bwana harusi huko Mateka Mhe. Diwani Bibi Mapunda anayecheka.
 Ndugu wa Baba mzazi wa kwanza mzee Simba wa Makambi Manispaa ya Songea
 Wa kulia Mkaguzi wa Shule Binti Chiwangu wa kwanza kulia
Baba Mdogo wa Bwana harusi wa kwanza kushoto

No comments:

Post a Comment