Friday, March 1, 2013

FAMILI YA WENA WA MABATINI SONGEA INAWASHUKURU WOTE WALIYO TOA MICHANGO YAO KWA KIJANA WA MPENDWA MAREHEMU FRANCES GELBERT WANA TANGU AKIWA MGONJWA HADI KUMPELEKA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE

 Marehemu Francis Gilbert Wana wa Mabatini Songea amezikwa katika maburi ya Mfaranyaki,picha ya chini ni mama mzazi wa Francis.
 Shemeji wa Frances na Mkewe wanaweka mashada kwenye kaburi lake
 Mama mzazi wa Frances anaweka shada juu ya kaburi la mwanae
 Baba zake wanaweka mashada juu ya kaburi la kijana wao.
 Watoto wote  wanaweka mashada juu ya kaburi
Mama huyo anaweka shada juu ya kaburi

No comments:

Post a Comment