Tuesday, March 19, 2013

PAPA FRANCIS WA KWANZA AAMESIKIKWA KUSHIKA NAFASI HIYO YA KUONGOZA MAKANISA DUNIANI

 Baba mtakatifu Francis wa kwanza akisoma misa katika viwanja vya Saint Peter's Square Vatican City kabla ya kusimikwa kuwa Papa na kukubali kuliongoza kanisa Katoliki kwa nguvu zake zote Duniani.
 Papa Francis wakati wa mageuzi ya mkate na Divai wakati wa Ibada hiyo Takatifu.
Awali Baba Mtakatifu Francis wa kwanza  katika mahubiri yake amehimiza waumini kufanya maombi ya msamaha wa dhambi.Alisema Mungu hachoki kuwasamehe wanadamu makosa yao,pia amewashukuru waumini wa Kanisa hilo kwa maombi yao kwa sala ya kumuombea Papa Francis wa kwanza.

No comments:

Post a Comment