Tuesday, March 19, 2013

DKT JAKAYA KIKWETE AMESEMA UFUMBUZI WA UHABA WA MADAKTARI NCHINI NI KUWA NA VYUO VYA KUTOSHA VITAKAVYO TOA WAGANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema ufumbuzi wa uhaba wa madaktari nchi ni pamoja na kuwapata wanafunzi wanao maliza mafunzo yao katika vyuo vikuu tulivyo navyo na kujenga vyuo vingine vya fani hiyo.Alisema hayo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment