Sunday, March 31, 2013

IBADA YA PASAKA ILIANZA KWA MAANDAMANO NJE YA KANISA FUATILIA

 Maandamano kabla ya Ibada ya PASAKA,ambapo katika ibada hiyo Askofu Norbert Mtega Kawaombea  Marehemu waliyopoteza maisha yao katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la Ghorofa 16 Jijini Dar es Salaam,na majeruhi wapate nafuu ili waweze kujumuika na familia zao.
 Maandamaoni ya akina baba
 Maandamano ya akina mama
 Maandamano ya akina Baba
 Kwaya ya Donbosco
Kwaya ya Donbosco
 Maandamano Askofu Mkuu Norbert Mtega
Maandamano

No comments:

Post a Comment