Tuesday, March 12, 2013

BREAKING NEWS VATCAN CITY TODAY ,INDIVIDUAL OATH EACH CARDNAL AT SISTEN CHAPE ( KATIKA MCHAKATO WA KUMCHAGUA PAPA MPYA)L

Individual prayer  by  each Cardinal to day at Vatican City.,and the election of new Pope is going on.let us pray so that to get better Pope that can Serve the church all around the World.
 Sala zinazoendelea za Makadinal Vatican na kumchagua Papa mpya,sala za waumini nazo zitasaidia kumpata Papa Mpya.wamesimama katika mstari kwenda kusali zala hiyo kwenye kitabu kitakatifu 'ambapo atataja jina lake na anakotoka ,kisha akiendelea maandiko matakatifu yaliyoandkiwa ,na kila Cardinal kafanya hivyo leo.Tunawatakia utulivu na amani Roho mtakatifu awaongoze Macardinal hao wapate Papa mpya.







No comments:

Post a Comment