Saturday, March 2, 2013

WATOTO NA WAJUKUU WA MZEE NCHIMBI WA MSAMALA WANAWASHUKURU WATU WOTE WALIOKWENDA KUMHIFADHI BABA YAO MPENDWA GALUS ALFONS NCHIMBI

 Mzee Galus Alfonsi Nchimbi alizaliwa mwaka 1935 Mashangano katika Manispaa ya Songea , katika uhai wake alikuwa fundi mjenzi wa majumba.na t 2013 tarehe 28/2/2013 alifariki na tarehe 2/3/2013 alizikwa kwenye makaburi ya Mshangano.Mungu ailaze mahali pema peponi Amina, nahivyo ndinyo ilivyokuwa katika mazishi yake.








No comments:

Post a Comment