Monday, March 11, 2013

HALI YA HEWA KATIKA MANISPAA YA SONGEA NA VITONGOJI VYAKE KULIKUWA NA MVUA ZA RASHARASHA ZA HAPA NA PALE

 Baada ya mvua kukatika mpiga picha wetu alikutana na lori ambalo lilikuwa na sheheni ya mzigo,kuwa ni dalili ya wananchi kupata mavuno ya kutosha kwa kuwa pembe jeo zinaletwa.
k
Na lori hilo lilikuwa likielekea ghala ya taifa ya Ruhuwiko kuliko hifadhiwa chakula kwa ajili ya tahadhali.

No comments:

Post a Comment