Sunday, March 3, 2013

ULIKUWA MWEZI,ZIKAWA SIKU ,NA SASA NI MASAA TU KWA TAIFA LA KENYA LENYA ZAIDI YA WATU MILIONI 13 KUPATA VIONGOZI WAO

Kesho wananchi zaidi ya milioni 13 watajitokeza kupiga kura katika vituo 33,000 vya kupiga kura katika nchi hiyo.Aidha vituo vitafunguliwa kuanzia saa 12.30 hadi saa 11 jioni, Vituo ambavyo vitachelewa kufungua  vitaongezewa muda wa kupiga kura.

No comments:

Post a Comment