Sunday, April 1, 2012

KIJANA THADEO PETER MPELASOKA WA MINZIRO BUKOBA SASA SONGEA JANA KAZINDUA KAMATI YAKE YA KUPOKEA BAADA YA KUFUNGA CINGU ZA MAISHA KWAO TAREHE 29/6/2012

 Bwana Harusi mtarajiwa Bw.Thadeo Peter Mpelasoka akiwa katika ukumbi wa USHIRIKA wawazi na kamati yake aliyoiunda kwa ajili ya mapokezi yeye na Mpendwa wake au Mrs Pelasoka kwa lengo la makaribisho na utambulisho.
 Familia ya marehemu Mzee Peter Segawa Mpelesoka wa Minziro Bukoba wamezindua kikao cha kwanza cha maandalizi ya Harusi ya kijana wao Thadeo Mpelasoka kama anavyopendeza hapo kwenye picha anatarajia kufunga ndoa tarehe 29/6/2012 huko Bukoba.
 Mmoja ya wanakamati akichangia hoja namna ya kuboresha sherehe hizo siku hiyo,Hapo juu mwenye miwani ndiye aliyechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo hapo jana.

 Hiyo ni meza ya upande wa wazazi wa Bw.Mpelasoka .
Hao nao ni kati ya wanakamati waliyo alikwa kufika kumuunga mkono Bw.Thadeo Mpelasoka wengine hawapo kwenye picha.

No comments:

Post a Comment