Sunday, April 8, 2012

BLOG YA KUSINI INAUNGANA NA WATANZANIA WENGINE AMBAO WAMEGUSWA NA KIFO CHA MSANII MAARUFU NCHINI MAREHEMU KANUMBA

Ni pengo kubwa ambalo si rahisi kusimulia kwakuwa usanii ni 'talent' ya mtu aliyepewa na Muumba wake,alivyokuwa akifanya Kanumba siyo rahisi kufanya mwengine ingawa vitafanana.
Aidha tunatoa pole kwa wazazi wake ambao wamepata mshtuko kwani kijana wao hakuugua,lakini yote ni ya Mungu kazi yake mara zote haina makaosa,ni pamoja na wasanii wenzake wa ndani na nje ya nchi.
Roho ya marehemu Kanumba Mungu aiweke mahali pema peponi, Amin.

No comments:

Post a Comment