Saturday, April 7, 2012

MANISPAA YA SONGEA YABORESHA BARABARA ZAKE WAKIANZIA NA MITARO NA MAKARAVATI

 Kamera yetu iliwanasa wafanyakazi wa utengenezaji wa barabara za manispaa ya Songea wakiwa wakichimba barabara iendayo polisi na majimaji kwa ajili ya kuweka karavati,eneo ambalo ni korofi hasa nyakati za mvua.
Upande wa pili ni mitaro iliyo kandokando ya maduka ambayo inabomolewa ili ijengwe upya,ili maji ya mvua yeweze kupitisha uchafu na vitu vingine ambavyo husombwa na maji ya mvua yakiwa mengi.

No comments:

Post a Comment