Sunday, April 8, 2012

KIKWETE KWENDA KUTIA SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KWA MAREHEMU MAHUNDI NA STIVE KANUMBA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete leo ametia saini kwa familia ya marehemu Mahundi na Kanumba.
Aidha Rais amesema kuwa Kanumba alikuwa ameanza kuchipukia na kufahamika kwa kazi zake nzuri katika nchi za jirani za Kongo,Kenya na nyingine,lakini kazi ya Mungu haizuiliki,alikwisha zungumza naye akiwa na wasanii wenzake Ikulu,na aliwa ahidi kuwasaidia kwa fedha na vifaa.

 Rais akisalimiana na mmoja ya Mtoto katika familia ya Marehemu Mahundi Jijini Dar es salaam leo alipokwenda kutoa pole kwa wafiwa.
i
 Huyo ni MMoja kati ya wacheza film wa Nigeria ambao walifika Tanzania wakacheza na Marehemu Kanumba katika mchezo wa ' My Sister'
Marehemu Kanumba msanii aliyeanza kung'a Tanzania na nchi yenye magwiji wa kucheza film ya Nigeria,lakini Maskini Kanumba Rafiki 'mkia wa fisi inama ukufilisi' sasa 'Kanumba the great has no longer in this World because of Love' Uktakumbukwa daima kutokana na kazi zako.Mungu ailaze roho ya Marehemu Kanumba peponi Aman.

No comments:

Post a Comment