Sunday, April 1, 2012

USAFIRISHAJI WA MABINDI BADO KAZI NZITO KUTOKA RUVUMA KWENDA NJE YA MKOA HUO

Hilo ni moja ya lori lililojaza mzigo wa magunia ya mahidi kutoka Ghala la chakula la Taifa Ruhuwiko Manispaa ya Songea.Lakini bado kuna foleni ndefu kwelikweli ya malori yakisubili kujaza mzigo,kazi bado ni nzito ya kuyamaliza mahindi hayo kwenye ghala.

No comments:

Post a Comment