Saturday, April 7, 2012

RIS JAKAYA KIKWETE JANA ATANGAZA TUME ITAKAYOSHUGHULIKIWA MASUALA YA KATIBA 15 TOKA TANZANIA BARA NA 15 TANZANIA VISIWANI

 Rais Kikwete alisema kila mmoja mwenye maoni yake kuhusu kuboresha Katiba ionane na kamati hiyo,kamati ambayo inawakilisha wananchi wote ,ambayo ina wajumbe kutoka Tanzania Bara 15 na Tanzania Visiwani 15.Alisema haikuwa rahisi namna ya kuwapata lakini busara imetumika wamepatikana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akisoma majina ya wajumbe waliyoteuliwa kwenye Tume hiyo Jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment