Wednesday, April 25, 2012

ZOEZI LA KUSAFIRISHA MAHINDI KUTOKA GHALA YA CHAKULA LA TAIFA RUHUWIKO SONGEA BADO SANA , INGEKUWA NI USAFIRI WA R ELI LINGEKUWA LIMAKAMILIAKA


 Mpiga picha wetu leo ameyakuta maroli yakiwa tupu yakielekea kwenye Ghala hilo la chakula la Ruhuwiko katika Manispaa ya Songea.Lakini alipojaribu kumuuliza mmoja wa madereva wa malori hayo amesema,kazi iliyoko ni kubwa mmno,kwani foleni ya malori ambayo yanasubiri kupakia ni mengi.
Mahindi ni mengi mmno maana mengine yako Mpitimbi,Litisha  yalikohifadhiwa wakati ya hapa Somgea ni bado kabisa
Hilo ni lori lililojaza mzigo liko njia moja likielekea Dar es Salaam likitokea Mpitimbi

No comments:

Post a Comment