Saturday, April 7, 2012

WEMBEMBE WA DARAJA LA MATARAWE LA SABABISHA GARI DOGO KUJERUHI OMBAOMBA MANISPAA YA SONGEA HIVI KARIBUNI

 Gari hilo lenye namba ya usajili T.699 AFM  mwenye mali hakujulikana baada ya dereva aliyekuwa akiendesha kukimbia baada ya  kusababisha ajali hiyo.Gari hilo lilikuwa limebeba mbao,alipoteremka mlima mbao zilielemea upande mmoja na kumshinda na kuelekea aliko kaa mwombaji huyo, ni mtu mzima ilikuwa ni kawaida yake kuomba eneo hiyo lanye hatari,aligongwa na kutupwa kwenye mtaro ,na alikimbizwa Hospitali ya mkoa ya Songea kwa matibabu.
Askari wa Uasama barabarani  Mkoani Ruruma akionyesha namba ya usajili ya gari hilo ambayo ilikuwa mbele ya gari na nyuma hakukuwa na namba yoyote,hi ni hatari kwa wenye kumiliki magari,pia kwa waendesha magari hayo.

No comments:

Post a Comment