Sunday, April 1, 2012

LEO NDIYO LEO KINYANG'ANYIRO CHA UDIWANI KATA YA LIZABONI MANISPAA YA SONGEA

Watu wanasubiri kusikia nani kwa Diwani wa Kata hiyo ya Lizaboni Manispaa ya Songea Ruvuma,kufuatia aliyekuwa Diwani wa Kata hiyo Ally Manya  ( CCM ) kufariki dunia mwaka uliyo pita.Ni vyama viwili vilivyoingia ulingoni kwa hiyo CCM au CHADEMA tunasubiri kusikia.

No comments:

Post a Comment