Wednesday, April 25, 2012

LEO NI SIKU YA MARELIA, SIKU YA KUMTAFAKARI MDUDU MDOGO SANA LAKINI MADHARA YAKE NI MAKUBWA SANA KWA MAISHA YA BUNADAMU,NAYE SI MWINGINE NI MBU.

Siku ya mareli ni siku iliyoandaliwa kwa kuyaangamiza mazalia ya mbu,madibwi ya maji,vichaka vya majani,kwa kumwagia dawa ,kupulizia dawa kwenye majumba.Lakini kubwa zaidi ni kutumia chandarua kilichotiwa dawa.
  Kwa taarifa ya Sekta ya afya nchini ni kwamba idadi ya vifo vya watoto kutokana na marelia vimepungua.
  Mareli yanawashambulia akina mama wajawazito na watoto wachanga.Lakini Serikali kwa kuthamini wananchi wake,imeto vyandarua vyenye dawa kwa mama mjamzito namwenye mtoto mchanga ili kuwakinga na mbu wanaosambaza vimelea vyenye marelia.

No comments:

Post a Comment