Tuesday, April 17, 2012

BREAKING NEWS ! ! WABUNGE 302 WA BUNGE LA JAM HURI YA TANZANIA LEO WAMEPIGA KURA KUWACHAGUA WABUNGE WATAKAO WAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Nafasi ya wanawake ni mbili,kambi ya upinzani nao wapo na fasi ya Zanzibar wanaume na wanawake bila ubaguzi. wapatikane wabunge watakaoingia kwenye mjengo wa Bunge la Afrika Mashariki 9.Saa moja usiku tutapata majina kamili ya wabunge waliyochaguliwa.Katika uchaguzi huo uliyofanyika leo baada ya kujieleza na kisha kuomba kura kwa waheshimiwa wabunge wenzao.

No comments:

Post a Comment