Tuesday, April 10, 2012

KANUMBA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI ,WENGINE WAZIRAI NA UMATI WASHINDWA KUAGA MWILI WAKE KUTOKANA NA ENEO LA KUAGA MWILI KUWA DOGO

 Mwili wa Marehemu Kanumba ukisindikizwa na umati wa watu kuelekea makaburi ya kinondoni Jijini Dar es Salaam kwa mazishi,Waliwahi kuaga mwili wa marehemu ni viongozi wa Kitaifa tu wananchi wengine hawakupata nafasi ya kuuaga mwili.ambapo baadhi ya familia waliaga Katika makaburi ya Kinondoni.
 Baba wa Marehemu kanumba Bw.Charles Kanumba.
 Mama wa Kanumba
 Marehemu kanumba
 Mwili wa marehemu kanumba ukiagwa
 Mmoja wa wacheza filamu na Marehemu Kanumba wakimnyamazishi wakati akihojiwa.
 Mwenyekiti wa kamati ya mazishi Bwana Gabriel Mtitu akielezea taratibu za uagaji wa mwili na mazishi Jijini Dar es Salaam leo
Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mhe.Dkt Emannuel Nchimbi alisema kazi ya usanii si rahisi,lakini marehemu Kanumba waliweza kufanya kazi hiyo hadi kifo chake ambapo aliandaa Filamu 40.Aidha alisema serikali imetoa ubani shilingi milioni 10.

No comments:

Post a Comment