Saturday, March 24, 2012

UMOJA WA WAANDISHI WA HABARI RUVUMA UMEPATA UONGOZI WA KUDUMU • Endrew Kuchonjoma Mwenyekiti. • Leticia Nyoni Makamu Mwenyekiti • Enderw Chatwanga Katibu Mtendaji • Julis Moses Konara Makamu katibu Mtendaji

 Anayezungumza ni mwenyekiti aliyechaguliwa Bw.Endrew Kuchonjoma na wa kwanza ni Makamu mwenyekiti Bi Leticia Nyoni
 Katibu Mtendaji wa Press aliyechaguliwa Bw.Endrew Chatwanga
 Katibu na kamati tendaji ya Press
 Afisa tawala Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Songea Bw. Richardi Mbambe msimamizi wa uchaguli huo leo Ukumbi wa Emau Peramiho
 Wajumbe na baadhi ya viongozi
Bw.Mbambe anawakabidhi rasmii viongozi wa kudumu kwa miaka mitatu ijayo.

No comments:

Post a Comment