Tuesday, March 13, 2012

CCM WAZINDUA KAMPENI YA UDIWANI LEO KATA YA LIZABONI MANISPAA YA SONGEA KUZIBA NAFASI YA MAREHE MU ALLY MAYA

Wakati Chama Cha Mapinduzi CCM wanazindua kampeni ya Udiwani Katika  Kata ya Lizaboni Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma leo,kufuatia aliyekuwa Diwani kupitia Chama hicho kufariki mwaka jana na kuacha nafasi hiyo wazi,Wenzao wa Chama Cha Chadema wao walizindua  kampeni hiyo siku tatu zilizo pita.

No comments:

Post a Comment