Monday, March 12, 2012

USAFIRISHAJI WA MAHINDI KUTOKA GHALA LA CHAKULA LA TAIFA RUHUWIKO SONGEA RUVUMA KUPELEKA NJE YA MKOA BADO UNAENDELEA.

 Lori hilo ninashehena ya magunia ya mahindi kutoka katika ghala la taifa la chakula Ruhuwiko Songea hapo liko eneo la Lizaboni Manispaa ya Songea likielekea Barabara Songea Dar es Salaam.
Lori hilo lipo maeneo ya Stand kuu ya Songea likiingia kwenye shell ya Kisumapai kuweka mafuta ili aendelee na safari yake.Usafirishaji wa chakula kwa malori ni mzuri ila unachukua muda mrefu,iwapo kungekuwa na usafirishaji wa gari moshi. shehena iyolundikana kule ghalani ingekuwa karibu wanaimaliza.

No comments:

Post a Comment