Thursday, January 31, 2013

MWENYE MACHO HAMBIWI TAZAMA,UPANUSI WA BARABARA JIJINI DAR ES SALAAM UNAVYO KWENDA KASI

Hilo ni Jiji la Dar es Salaam ambalo lina msongamano wa magari,kiasi kwamba waenda kazini huchelewa kufika mapema eneo la kazi na wanafunzi halikadhalika.
Serikali imeamua kupanua miundombinu ya barabara zake ili msongomano wa mgari upungue,Sambamba na hilo kumeanziswa na Train ambalo nalo lita saidia kwa kiasi kikubwa kupeleka watu kazini wakati wa asubuhi na kuwarudisha wakati wa jioni.

No comments:

Post a Comment