Thursday, January 31, 2013

MAELFU YA WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA LEO WAMEFUTIKA KATIKA MAZISHI YA MWENYE KITI MSTAAFU WA CCM SONGEA MJINI BWANA YASINI DIZUMBA NYUMBANI KWAKE RUHIRA SEKO

Bwana Dizumba alikuwa maarufu sana katika maisha yake,katika manispaa ya Songea na Dar es Salaam pia ambako alikozaliwa na kupata elimu yake.
Katika uhai wake amewahi kufanya shughuli mbalimbali  zikiwemo za michezo, za ulazishaji mali mapoja na shughuli za Chama mpaka anaiga dunia hapo juzi katika hospitali ya Peramiho alikuwa Mwenye kiti wa CCM mstaafu.
Aidha alikuwa kiongozi wa Timu ya majmaji na ikapanda daraja,hivyo watu wengi wanamkumbuka Dizumba kutokana na umarufu wake kwa kuwa alikuwa ni mtu wa watu.
Bw.Dizumba amezikwa nyumbani kwake Ruhira Seko ( Songea Boys ) katika Manispaa ya Songea leo na maelfu ya watu waliofurika katika mazishi yake.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment