Wednesday, January 23, 2013

HALMASHURI YA MANISPAA YA SONGEA ILIVYO LEO

 Mwandishi wa Blog hii leo amepita mitaa ya Manispaa ya Songea ambapo ameshuhudia pilika pilika za wananchi waki hanagika na maisha.yao ya kila siku ya ujenzi wa taifa.
Barabara nyingi ambazo hazijajengwa katika viwango huishia kuharibika baada ya muda mfupi kutokana na malori makubwa kama hayo ambayo yana shehena kubwa kupita kiwango kinacho takiwa  kubebwa na malori hayo. kwenye barabara hizo.

No comments:

Post a Comment