Thursday, January 31, 2013

BEAKING NEWSSSS! MWENYEKITI WA SOKO KUU JIJINI MWANZA AKUTWA NA JENEZA/SANDUKU LISILO NA MAITI KATIKA ENEO LAKE LA KAZI

MWENYE kiti wa soko Jijini Mwanza Bwana Amadi Njola amewashangaza wafanya biashara wenzake baada ya kukuta sanduku la kuhifadha maiti likiwa tupu katikati ya magunia katika eneo lake la kazi.
Alipoulizwa alisema kuwa yeye ni mfanya kiashara kama wenzake,kwa hiyo hawakuwa na haja ya kuuliza kitu ambacho kipo katika biashara zake.
Tukio hilo lina sadikiwa kuwa liana kwenda sambamba na imani za kishirikina.Sawa ni ushirikina wa aina gani huo wa kuweka sanduku katikati ya magunia? je aliliweka kwa ajili yake ili anapo fariki jamaa zake wasipate shida ya kuchonga sanduku? na kama ndiyo kwa nini asiliweke nyumbani kwake? Tuwaachie wenyewe wahusika.

No comments:

Post a Comment