Wednesday, January 23, 2013

BIASHARA NDOGO NDOGO KWA WANAFUNZI KATIKA MIKOA YA LINDINA MTWARA NDIYO CHANZO CHA UTORO WA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Hiyo ni moja ya biashara ndogo ndogo zinazofanywa na watoto ambao ni wanafunzi wa shule za msingi na sekindari katika mashamba ya chumvi Mkoani Lindi.
Biashara hizo hufanya wanafunzi kuwa watoro wa  shule,na kufanya matokeo yao kuwa mabaya na kupolomoka kwa kiwango cha taaluma.

No comments:

Post a Comment