Saturday, January 12, 2013

NI DALILI NZURI KWA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA MKOANI RUVUMA MWAKA HUU

Wakulima wa mkoa wa Ruvuma hususan wakulima wa mahindi wameisifia mvua ambayo inaendelea kunyesha kuwa ni mvua nzuri kwani inanyesha, na kutulia ambapo inaipa mimea kukua kwa haraka.
Mkoa huu iwapo bei za mbolea nzingekuwa na unafuu wa kununua kwa kila mkulima wa mkoa huu,mazao yangekuwa mengi mmno.
Kutokana na wakulima kuwa na uwezo mdogo wa kipato hivyo inawalazimu kulima kishamba kidogo ambacho hakina tija wala faida kwa kushindwa kununua mbolea nyingi na alime shamba kubwa.

No comments:

Post a Comment