Friday, January 4, 2013

TUNAKUOMBEA KILA LA KHERI (SAJUKI) MUNGU ILAZE ROHO YAKE PEPONI,WATANZANIA TUNAZIDI KUPOTEZA WASANII AMBAO BADO TUNAWAHITAJI

Msanii Sadick  Juma Kilowoko ( SAJUKI) akiwa katika safari yake ya mwisho hapa duniani.Kazi ya Mungu  haina makosa.
Ila wimbi la kupoteza wasanii wetu Tanzania limezidi kuwakumba wasanii, mmoja hadi mwingine hebu tujiulize tatizo liko wapi.
Wasanii wachanga kabisa ambao walianza kujulikana ndani na nje ya nchi tunawapoteza,tumuombe Mungu aepushe vifo vya wasanii wetu ambao ndiyo kwanza wanaanza kujulikana.
Pamoja na yote hayo wasanii wetu ambao ni kioo cha nchi yetu katika kutoa mafundisho kuburudisha na kuhimiza jamii kujirekebisha kutokana na mafundisho yanayotolewa na wasanii hao.

No comments:

Post a Comment