Wednesday, January 23, 2013

WAKULIMA WA KOROSHO WANAPATA KOROSHO NYINGI KUTOKANA NA KUPALILIA MASHAMBA YAO NA KUPULIZIA DAWA

 Pamoja na wakulima wa korosho mikoa ya Mtwara,Lindi na Ruvuma kupalilia na kupulizia dawa mikorosho yao na kuvuna korosho nyingi,bado wakulima hao wanakabiliwa na tatizo la kuuza korosho zao kwa walanguzi kwa bei ya chini.
Lakini kwenye vyama vya Ushirika nako wanakopwa korosho zao,kutokana na mazingira hayo wananchi wa mikoa hiyo hawanufaiki na zao hilo.

No comments:

Post a Comment