Saturday, January 12, 2013

MIAKA 49 YA MAPINDUZI ZANZIBAR DKT. MOHAMED ALL SHEIN AHUTUBIA WANANCHI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt All Mohamed Shein asema Serikali yake haita mvumilia mtu atakayelenga kuvuruga amani iliyopo hivi sasa nchini.
 Sherehe hizo lilipambwa na majeshi ya ulinzi na usalama,ambapo Rais aliyakagua kabla ya kupita kutoa heshima kwa mwendo wa haraka na pole.
Wakipita mbele ya Jukwaa mwendo wa pole wakitoa hashima.

No comments:

Post a Comment