Friday, November 30, 2012

WAHISANI WATAKABIDHI VIFAA VYA HOSPITALI YA MKOA WA SONGEA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI HAMSINI ( 50 MILIONI )

 Bi Biffa Barran Sulle akiwaelezea waandishi wa vymombo vya habari idadi ya vifaa vilivyo kuweko ndani ya container ,ambavyo kesho pamoja na viongozi wa UWT mkoa watakabidhi kwenye uongozi wa hospitali ya mkoa ya Songea.
Baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari pamoja na uongozi wa UWT mkoa na mgeni wao Bi Sulle katika ukumbi wa Serengeti katika Manispaa ya Songea leo.

COORDINATOR wa wahisani hao Bibi Biffa Barran Sulle  The Tanzania Ecology Serving Foundation ( Country Coordinator ),akiongea na vyombo vya habari Mkoani hapa alisema kuwa Container la vifaa hivyo lipo njiani na kesho asubuhi kutakuwepo na makabidhiano na uongozi wa Hospitali ya mkoa.
 Bibi Sulle alivitaja vifaa hivyo kuwa ni pamoja na vitanda 30 vya umeme,microscope moja,microscope kubwa mbili,taa ya upasuaji,taa malum ya buluu,taa yenye lensi,” Defilibrator tatu,Light boxe tatu za X – ray,matandiko 29,makasha 102  yenye vifaa vya hospiltali  na Sacs with clothes.
Vingine Side table 15,Dentist lamp,Dentist  chair,Toy  pieces mbili,box 10 za vifaa vya hospitali,box 10 za ring binders,Centrifuge for blood, Respirator mbili,Utrasound Scanner and,Lift for patients
Aidha alisema katika container hilo kuna vifaa  vya elimu,vikiwemo vitabu,box tano,Incubator kwa watoto wanaozaliwa kabla ya muda ( pre – mature

No comments:

Post a Comment