Friday, November 30, 2012

HOSPITALI YA MKOA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA HOSPITALI TOKA DENMARK

   Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mheshimiwa Dokta Teresa Hovisa Luoga akizungumza na uongozi wa Hospitali ya mkoa ya Songea katika ukumbi wa Hospitali  pamoja na vyombo vya habari leo.
 Bibi Biffa Barran Sulle Tanzania Ecology Serving Foundation Country Coordinator akiandika vifaa  hospitali vilivyo kuwepo kwenye container
Mganga mkuu wa hospitali ya mkoa Dokta Mallecela akito shukurani kwa wahisani,na Mheshimiwa Dkt Teresa Hovisa Luoga kwa  jitihadi alizozifanya ya kutafuta wahisani ambao wame toa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 50.


Mheshimiwa Dkt Teresa Hovisa Luoga alisema vifaa hivi vitakabidhiwa kesho katika hospitali ya Mkoa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Ruvuma Bibi Kuluthumu ,akikabidhiwa na ( Coordinator wa wahisani hao,Bibi Biffa Barran Sulle baada ya kupokea Container la VIFAA hivyo naye kukabidhi  kwa uongozi wa Hospitali ya mkoa kwa niaba ya Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Dokta Teresa  Hovisa Luoga vyenye thamani ya zaid ya shilingi milioni hamsini za kitanzania ( shilingi 50 milioni )
Aidha Mhe. mashindano ya usafi,kwani usafi upo ndani ya moyo wa mtu,na kwamba miti ya mlima wa matogoro imepungua hivyo ipandwe mingine ili upungufu wa maji usije ukajitokeza kama ilivyo jitokeza mwaka huu.
 Naye Bibi Biffa Barran Sulle wa Tanzania Ecology Serving  Foundation   Country Coordinator alisema vifaa hivyo ni Item 247. katika Container hilo.Dkt Hovisa alisema msaada huo umetolewa na wazee wastaafu wa Denmark waliyotembelea Hospitali ya mkoa na kuona upungufu wa vitendea kazi ndipo waliporudi kwao  na wakachangishana na kupata vifaa hivyo.
Sambamba na hayo Mhe.Dokta Hovisa ametoa wito kwa wananchi wa Manispaa ya Songea wenye maduka kuwa kila mtu mwenye duka apande mti wa maua,ili kuboresha usafi wa Manispaa hiyo.
Alisema Manispaa iingie kwenye

No comments:

Post a Comment