Tuesday, November 27, 2012

IFIKAPO MWAKA 2015 TATIZO LA UMEME LITAKUWA HADITHI - KIKWETE

 Rais Jakaya Kikwete awambia watanzania kuwa ifikapo mwaka 2015 tatizo la umeme litakuwa hadithi,kutokana na kuongezeka kwa umeme wa Gesi na makaa ya mawe ambayo ni mengi yatakayo zalisha umeme wa kutosha ukisha anza kuzalisha umeme.
Rais Dkt Jakaya Kikwete amewshukuru Watu wa Jamhuri ya China kwa kutoa fegha nyingi katika mzadi wa kuzalisha umeme wa Gesi.'Akufaae kwa dhiki ndiyo rafika' alisema Rais Kikwete wakati akizunguma Jijini Dar es Salaam kuhusu ufumbuzi wa tatizo la umeme wa kutegemea mvua kunyesha.

No comments:

Post a Comment