Tuesday, November 27, 2012

KINYEREZI KUJENGWA MIRADI MITATU YA UMEME WA GESI

Enjinia Felchism Mramba elezea jitiahada za shirika la Umeme linavyo jipanga kupunguza tatazo la umeme kwa wakazi wa Jijini Dar es Salaam kwa kuwa na miradi mitatu ya umeme wa Gesi maeneo ya Kinyerezi Jijini Dar es Salaam.Alitaja miradi hiyo kuwa na Mradi wa MEGAWAT 159,wa MWGAWAT 240 NA wa MEGAWAT 300.Utakao anza mwaka ujao .

No comments:

Post a Comment